Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, November 1, 2010

Vincent Nyerere ashinda Ubunge Musoma Mjini



Vincent NyerereTaarifa hii inatoka kwenye blogu ya Madaraka Nyerere akisema kuwa,

Taarifa rasmi iliyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi wa Musoma Mjini, saa 11:30 alfajiri hii, imethibitisha ushindi wa Vincent Nyerere wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mbunge mpya baada ya kumshinda aliyekuwa mbunge, Vedasto Mathayo Manyinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Matokeo rasmi ni haya:

Vincent Nyerere (CHADEMA) -------------------------- 21,335 (56.71%)
Vedasto Mathayo Manyinyi (CCM) --------------------14,072 (39.38%)
Mustapha Juma Wandwi (Civic United Front) -----------253 (0.71%)
Chrisant Ndege Nyakitita (Democratic Party) -------------53 (0.15%)
Tabu Saidi Machibya (NCCR - Mageuzi)---------------------19 (0.05%


from: http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz140EemPXE

No comments:

Post a Comment